Mshambuliaji wa Swansea City, Andre Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji wa soka Afrika, Mghana Abedi Pele akishangilia baada ya kufunga mabao mawili jioni ya leo katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Liberty dakika ya 20 na 67. Bao lingine la Swansea limefungwa na Jack Cork dakika ya 33, wakati la kufutia machozi la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Toronto police investigating reports of firearm discharge at U.S. consulate
-
TORONTO — Toronto police say they have responded to reports that someone
discharged a firearm at the U.S. consulate in the city's downtown.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment