Mshambuliaji wa Swansea City, Andre Ayew ambaye ni mtoto wa gwiji wa soka Afrika, Mghana Abedi Pele akishangilia baada ya kufunga mabao mawili jioni ya leo katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool Uwanja wa Liberty dakika ya 20 na 67. Bao lingine la Swansea limefungwa na Jack Cork dakika ya 33, wakati la kufutia machozi la Liverpool limefungwa na Christian Benteke dakika ya 65 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
What we learned from Xabi Alonso deploying a back three for the first time
at Chelsea and why adding a set-piece coach has proved a masterstroke was
left frustrated in defeat by Juventus
-
The display was a far cry from Chelsea's leaky defensive performances in
pre-season so far, as they kept their first clean sheet since Alonso took
charge.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment