Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akimzuia kwenda kufunga mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez aliyeanguka chini ingawa refa hakutoa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 wenyeji Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya nane kabla ya Wes Morgan kuisawazishia Leicester dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Billy Vunipola was TEETOTAL for almost two years - but fell off
the wagon spectacularly in Majorca with drunken arrest after police
'Tasered him when he downed four Amarettos'
-
For the last 20 months, the younger of Saracens' two Vunipola brothers had
banished the booze as he strove to re-establish career momentum.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment