• HABARI MPYA

    Thursday, May 14, 2015

    TAARIFA MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI WA YANGA SC

    TANGAZO LA UCHAGUZI
    S/N
    TUKIO
    TAREHE
    MWISHO
    1
    Taarifa ya mkutano mkuu wa Uchaguzi kwenda Kwa Katibu Mkuu wa Yanga na TFF.
    4, May 2015

    Kutangaza rasmi mchakato wa Uchaguzi kwa vyombo vya habari.

    15, May 2015





    2
    Kuchukua fomu za maombi ya uongozi kutoka kwa katibu wa kamati ya Uchaguzi kwa nafasi zifuatazo
    (a)  Mwwenyekiti, fomu itauzwa shilingi  200,000/= tu
    (b) Makamo mwenyekiti, fomu itauzwa shilingi 150,000/= tu
    (c)  Wajumbe wa Kamati ya Utendaji itauzwa shilingi 100,000/= tu



    18, May 2015



    22, May 2015, 10:00 jioni


    3
    Kurejesha fomu za maombi ya uongozi zikiambatanishwa na uthibitisho wa uraia, kadi ya uanachama Yanga ambayo haidaiwi ada na nakala za vyeti vya elimu ya sekondari.

    23, May 2015

    26, May 2015, 10:00 jioni, BAADA YA MUDA HUO HAKUNA FOMU ITAKAYOPOKELEWA

    4
    Kamati ya uchaguzi kukagua fomu za maombi ya uongozi na kubandika ktika ubao wa matangazo wa klabu ya YANGA, TFF na vyombo vya habari.

    27, May 2015

    28, May 2015, KAMATI ITAKAVYOONA IFAA
    5
    Kamati ya Uchaguzi kupokea mapingamizi
    29, May 2015
    31, May 2015, 10:00 jioni
    6
    Kamati ya Uchaguzi kupitia mapingamizi.
    1, Juni 2015
    6, Juni 2015, 10:00, jioni
    7
    Kamati ya Uchaguzi kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na kutoa uamuzi.

    7, Juni 2015

    11, Juni 2015, 10:00, jioni


    8
    Muda wa kukata rufa kwa watoa pingamizi na waliopingwa kwa Kamati ya Uchaguzi ya TFF.


    12, Juni 2015


    18, Juni 2015, 10:00 jioni

    9
    Kamati ya Uchaguzi kufanya usaili kwa wagombea wote wanaostahili kusailiwa.
    19, Juni 2015
    23, Juni 2015, 10:00 jioni, KAMATI ITAKAVYOONA IFAA
    10
    Muda wa kukata rufaa kwa wagombea walioenguliwa na kamati ya uchaguzi ya YANGA kwa kamati ya uchaguzi ya TFF

    24, Juni 2015

    1, Julay 2015, jioni
    11
    Kamati ya Uchaguzi kutangaza wagombea waliokidhi vigezo
    2, Julay 2015
    6, Julay 2015,




    12

    Wagombea kuanza kampeni kwa wapiga kura. Hakutakuwa na kampeni katika ukumbi wa mkutano wa uchaguzi kufanya hivyo itakuwa ni kosa na mgombea anaweza kuenguliwa  na kufutwa katika orodha ya wagombea

    7, Julay 2015, wagombea watafanya kampeni zao kwa kuzingatia ratiba ya mgombea na wanachama wa matawi



    11, Julay 2015, 12:00, jioni
    BAADA YA MUDA HUO  HAIRUHUSIWI KUFANYA KAMPENI




    13


    UCHAGUZI MKUU
    Wakati wa Uchaguzi hairuhusiwi kwa namna yoyote ile kwa wagombea au mashabiki wao kuvaa Fulana, Kofia ama chochote chenye kuonyesha jina la mgombea au kugawa vipeperushi .


    12, Jula 2015,


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAARIFA MUHIMU KUHUSU UCHAGUZI WA YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top