TANGAZO LA UCHAGUZI
S/N
|
TUKIO
|
TAREHE
|
MWISHO
|
1
|
Taarifa
ya mkutano mkuu wa Uchaguzi kwenda Kwa Katibu Mkuu wa Yanga na TFF.
|
4,
May 2015
|
|
Kutangaza
rasmi mchakato wa Uchaguzi kwa vyombo vya habari.
|
15,
May 2015
|
||
2
|
Kuchukua
fomu za maombi ya uongozi kutoka kwa katibu wa kamati ya Uchaguzi kwa nafasi
zifuatazo
(a) Mwwenyekiti,
fomu itauzwa shilingi 200,000/= tu
(b) Makamo
mwenyekiti, fomu itauzwa shilingi 150,000/= tu
(c) Wajumbe wa
Kamati ya Utendaji itauzwa shilingi 100,000/= tu
|
18,
May 2015
|
22,
May 2015, 10:00 jioni
|
3
|
Kurejesha
fomu za maombi ya uongozi zikiambatanishwa na uthibitisho wa uraia, kadi ya
uanachama Yanga ambayo haidaiwi ada na nakala za vyeti vya elimu ya
sekondari.
|
23,
May 2015
|
26,
May 2015, 10:00 jioni, BAADA YA MUDA HUO HAKUNA FOMU ITAKAYOPOKELEWA
|
4
|
Kamati
ya uchaguzi kukagua fomu za maombi ya uongozi na kubandika ktika ubao wa
matangazo wa klabu ya YANGA, TFF na vyombo vya habari.
|
27,
May 2015
|
28,
May 2015, KAMATI ITAKAVYOONA IFAA
|
5
|
Kamati
ya Uchaguzi kupokea mapingamizi
|
29,
May 2015
|
31,
May 2015, 10:00 jioni
|
6
|
Kamati
ya Uchaguzi kupitia mapingamizi.
|
1,
Juni 2015
|
6,
Juni 2015, 10:00, jioni
|
7
|
Kamati
ya Uchaguzi kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa na kutoa uamuzi.
|
7,
Juni 2015
|
11,
Juni 2015, 10:00, jioni
|
8
|
Muda
wa kukata rufa kwa watoa pingamizi na waliopingwa kwa Kamati ya Uchaguzi ya
TFF.
|
12,
Juni 2015
|
18,
Juni 2015, 10:00 jioni
|
9
|
Kamati
ya Uchaguzi kufanya usaili kwa wagombea wote wanaostahili kusailiwa.
|
19,
Juni 2015
|
23,
Juni 2015, 10:00 jioni, KAMATI ITAKAVYOONA IFAA
|
10
|
Muda
wa kukata rufaa kwa wagombea walioenguliwa na kamati ya uchaguzi ya YANGA kwa
kamati ya uchaguzi ya TFF
|
24,
Juni 2015
|
1,
Julay 2015, jioni
|
11
|
Kamati
ya Uchaguzi kutangaza wagombea waliokidhi vigezo
|
2,
Julay 2015
|
6,
Julay 2015,
|
12
|
Wagombea
kuanza kampeni kwa wapiga kura. Hakutakuwa na kampeni katika ukumbi wa
mkutano wa uchaguzi kufanya hivyo itakuwa ni kosa na mgombea anaweza
kuenguliwa na kufutwa katika orodha ya
wagombea
|
7,
Julay 2015, wagombea watafanya kampeni zao kwa kuzingatia ratiba ya mgombea
na wanachama wa matawi
|
11,
Julay 2015, 12:00, jioni
BAADA
YA MUDA HUO HAIRUHUSIWI KUFANYA
KAMPENI
|
13
|
UCHAGUZI
MKUU
|
Wakati wa Uchaguzi hairuhusiwi kwa namna yoyote ile
kwa wagombea au mashabiki wao kuvaa Fulana, Kofia ama chochote chenye
kuonyesha jina la mgombea au kugawa vipeperushi .
|
12,
Jula 2015,
|
0 comments:
Post a Comment