CHEKO LA MALINZI ZURICH, NDIYO YAKE YAMETIMIA FIFA AU?
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (kushoto) na Katibu wake, Selestine Mwesigwa wakifurahia baadaya uchaguzi wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) leo uliomrudisha madarakani Sepp Baltter kuendelea kuwa Rais wa bodi hiyo ya soka duniani. Je, furaha hii ya wawakilishi hawa wa Tanzania kwenye uchaguzi huo inamaanisha kura zao zimetoa mshindi?
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment