• HABARI MPYA

    Sunday, May 24, 2015

    FELLAINI ALIMWA NYEKUNDU MAN UNITED IKITOKA 0-0 NA HULL CITY ILIYOSHUKA DARAJA

    Fellaini went into their challenge with his studs exposed and followed through with his knee into McShane's head, drawing blood
    Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini akimchezea rafu Paul McShane wa Hull City katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England leo timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Fellaini alitolewa nje kwa kadi nyekundu wakati Hull imeipa mkono wa kwaheri ligi hiyo. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FELLAINI ALIMWA NYEKUNDU MAN UNITED IKITOKA 0-0 NA HULL CITY ILIYOSHUKA DARAJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top