Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini akimchezea rafu Paul McShane wa Hull City katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England leo timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Fellaini alitolewa nje kwa kadi nyekundu wakati Hull imeipa mkono wa kwaheri ligi hiyo. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mary Obidudu, Kingsmen triumph at 2026 Nigeria K-Pop Festival
-
Mary Isibhakome Obidudu and dance crew, The Kingsmen, emerged winners of
the singing and dance categories respectively at the 2026 K-Pop Festival
held in...
1 minute ago


.png)
0 comments:
Post a Comment