Kiungo wa Manchester United, Marouane Fellaini akimchezea rafu Paul McShane wa Hull City katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England leo timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Fellaini alitolewa nje kwa kadi nyekundu wakati Hull imeipa mkono wa kwaheri ligi hiyo. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham striker Paul Mullin compared to Diego Maradona and branded 'EMBARRASSING' for handball goal
-
Paul Mullin has been compared to Diego Maradona after appearing to use his
hand to score for Wrexham against Grimsby in the National League play-off
semi-f...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni