Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Real Madrid katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol leo Uwanja wa Power8 katika mchezo wa La Liga jioni ya leo. Bao lingine la Real lilifungwa na Marcelo, wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Stuani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 0-1 Tottenham: Spurs earn first victory of the year thanks to late
Joao Palhinha strike - but it's NOT enough to climb them out of the
relegation zone as West Ham win
-
Stop the clock. After 118 days and 15 games in the Premier League under
three different managers, Tottenham have done it.
39 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment