Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia hat-trick Real Madrid katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol leo Uwanja wa Power8 katika mchezo wa La Liga jioni ya leo. Bao lingine la Real lilifungwa na Marcelo, wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Stuani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England and France players involved in prayer huddle just moments after
their epic World Cup third-place play-off in Miami
-
England and France's footballers put rivalry aside after their 10-goal
thriller in Miami on Saturday night to share a poignant moment of unity on
the pitch.
4 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment