• HABARI MPYA

    Thursday, May 21, 2015

    HAWA NDIYO KIBOKO YETU, KWELI 'WABONGO' TUMEJICHOKEA!

    Kikosi cha Madagascar ambacho jana kimeifunga mabao 2-0 Tanzania, Taifa Stars katika mchezo wa Kundi B Kombe la COSAFA, Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace mjini Rusternburg, Afrika Kusini.
    Kikosi cha Tanzania kilichofungwa 2-0 na Madagascar. Taifa Stars itacheza mechi ya kukamilisha ratiba kesho kabla ya Jumamosi kurejea nyumbani, kuanza maandalizi ya mchezo dhidi ya Misri kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON).
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAWA NDIYO KIBOKO YETU, KWELI 'WABONGO' TUMEJICHOKEA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top