Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya West Brom leo Uwanja wa Emirates katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na kiungo Jack Wilshere, wakati la kufutia machozi la West Brom lilifungwa na beki, Gareth McAuley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: Everything to know about England vs Croatia match
-
England and Croatia will renew their modern World Cup rivalry when both
sides clash in a highly anticipated Group L encounter at the 2026 FIFA
World Cup....
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment