Nahodha wa Chelsea, John Terry akiinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England leo baada ya mchezo dhidi ya Sunderland Uwanja wa Stamford Bridge leo ambao walishinda 3-1. Mabao ya Chelsea iliyojihakikishia ubingwa huo mapema mwezi huu yalifungwa na Lioc Remy mawili na Diego Costa moja kwa penalti baada ya John O'Shea kumchezea rafu Juan Cuadrado wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Steven Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Colorado's Deion Sanders weighs in on wagering as gambling scandal ripples
through college football
-
DENVER (AP) — Nobody has lived on the edge of the risk-reward nature of
sports more than Deion Sanders over the years.
4 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment