Nahodha wa Chelsea, John Terry akiinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England leo baada ya mchezo dhidi ya Sunderland Uwanja wa Stamford Bridge leo ambao walishinda 3-1. Mabao ya Chelsea iliyojihakikishia ubingwa huo mapema mwezi huu yalifungwa na Lioc Remy mawili na Diego Costa moja kwa penalti baada ya John O'Shea kumchezea rafu Juan Cuadrado wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Steven Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔴 ⚪ Liverpool v Real Madrid: Three key tactical battles
-
The stage is set for arguably the biggest match in world football as Real
Madrid face Liverpool in the UEFA Champions League final on Saturday
night. It w...
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni