Nahodha wa Chelsea, John Terry akiinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England leo baada ya mchezo dhidi ya Sunderland Uwanja wa Stamford Bridge leo ambao walishinda 3-1. Mabao ya Chelsea iliyojihakikishia ubingwa huo mapema mwezi huu yalifungwa na Lioc Remy mawili na Diego Costa moja kwa penalti baada ya John O'Shea kumchezea rafu Juan Cuadrado wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Steven Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
2 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment