Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga SC kwa sasa yupo apumzikoni akijiandaa na msimu mpya katika klabu mpya, Free State Stars |
Ngassa alikuwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichoshiriki michuano ya Kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini na kufanya vibaya, baada ya kufungwa mechi zote tatu za Kundi B |
0 comments:
Post a Comment