• HABARI MPYA

    Saturday, May 23, 2015

    NGASSA PUSHAPU 200 KILA SIKU, MAANDALIZI YA PSL SI MCHEZO

    Mshambuliaji wa Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Mrisho Khalfan Ngassa hupiga pushapu 200 kila siku asubuhi kabla ya kuingia kwenye programu nyingine za mazoezi kama kukimbia na kucheza na mpira. 
    Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga SC kwa sasa yupo apumzikoni akijiandaa na msimu mpya katika klabu mpya, Free State Stars

    Ngassa alikuwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichoshiriki michuano ya Kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini na kufanya vibaya, baada ya kufungwa mechi zote tatu za Kundi B

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NGASSA PUSHAPU 200 KILA SIKU, MAANDALIZI YA PSL SI MCHEZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top