Kiungo Frank Lampard akiwapigia makofi mashabiki wa Manchester City wakati anatoka uwanjani kumpisha Jesus Navas dakika ya 76 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad leo. City ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Lampard na Sergio Aguero. Hii ilikuwa mechi ya mwisho ya Lampard aliyekuwa kwa mkopo Man City kabla ya kurejea Marekani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FG resumes mass terrorism trials with over 600 suspects arraigned in Abuja
-
The Federal Government has launched a fresh phase of mass terrorism trials,
with over 600 suspects charged before the Federal High Court, Abuja, on
count...
37 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment