Kiungo Frank Lampard akiwapigia makofi mashabiki wa Manchester City wakati anatoka uwanjani kumpisha Jesus Navas dakika ya 76 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad leo. City ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Lampard na Sergio Aguero. Hii ilikuwa mechi ya mwisho ya Lampard aliyekuwa kwa mkopo Man City kabla ya kurejea Marekani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Infantino on the brink? Who might replace him if he goes?
-
Fifa president Gianni Infantino is in the eye of a storm after his attempt
to sell stakes in the World Cup. If he goes, who comes in?
4 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment