• HABARI MPYA

    Thursday, March 05, 2015

    BAFETIMBI GOMIS AZIMIA UWANJANI SWANSEA IKIPIGWA 3-2 NA SPURS

    MSHAMBULIAJI wa Swansea, Bafetimbi Gomis alizimia ghafla Uwanja wa White Hart Lane na kukumbushia tukio la Fabrice Muamba Machi mwaka 2012.
    Akiwa hayupo karibu na mtu yeyite, nyota huyo wa Swansea alionekana kupoteza nguvu katikati ya Uwanja wa kuanguka muda mfupi baada ya Nacer Chadli kuifungiua bao la kwanza Tottenham katika ushindi wa 3-2.
    Madaktari wa pande zote mbili waliingia uwanjani kumtibu mchezaji huyio mkali huyo wa nabao.
    Bafetimbi Gomis lies face down on the pitch after collapsing during  Swansea's game with Tottenham
    Bafetimbi Gomis akiwa amezirai uwanjani wakati Swansea ikimenyana na Tottenham 
    Gomis, who has a history of blacking out, is taken off the field on a stretcher at White Hart Lane 
    Gomis akitolewa nje ya Uwanja wa White Hart Lane 

    Gomis alitibiwa kwa dakika tano kabla ya kupelekwa nje akiwa amewekwa kifaa cha kupumulia mdomoni mwake na kupelekwa moja kwa moja katika zahanati ndogo ya Uwanja wa White Hart Lane kwa matibabu zaidi. 
    Pamoja na hayo, habari njema kwa mashabiki Swansea ni kwamba Gomis alipata nafuu baada ya tiba n a hakulazwa.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2979806/Bafetimbi-Gomis-collapses-pitch-Swansea-game-against-Tottenham.html#ixzz3TTO2ytzs 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BAFETIMBI GOMIS AZIMIA UWANJANI SWANSEA IKIPIGWA 3-2 NA SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top