ARSENAL imeng’ara katika Ligi Kuu ya England, kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Queens Park Rangers Uwanja wa Loftus Road usiku huu.
Olivier Giroud aliifungia The Gunnes bao la kwanza dakika ya 64, kabla ya Alexis Sanchez kuongeza la pili dakika ya 69.
Queens Park Rangers ilipata bao la kufutia machozi dakika ya 82 kupitia kwa Charlie Austin na Arsenal sasa inatimiza pointi 54 baada ya kucheza mechi 28.
Chelsea inaendelea kuongoza Ligi Kuu England kwa pointi zake 63 za mechi 27, Manchester City ya pili kwa pointi zake 58 za mechi 28 na Manchester United ni ya nne kwa pointi zake 53 za mechi 28.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa; Ospina, Bellerin, Mertesacker, Gabriel/Koscielny dk36, Gibbs, Cazorla, Coquelin, Rosicky, Ozil/Welbeck dk94, Sanchez na Giroud.
QPR; Green, Furlong, Onuoha/Hill dk45, Caulker, Yun, Phillips, Henry, Sandro/Kranjcar dk57, Hoilett, Zamora na Austin.
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2979784/QPR-1-2-Arsenal-Olivier-Giroud-Alexis-Sanchez-strike-R-s.html#ixzz3TT90mrhP
Olivier Giroud aliifungia The Gunnes bao la kwanza dakika ya 64, kabla ya Alexis Sanchez kuongeza la pili dakika ya 69.
Queens Park Rangers ilipata bao la kufutia machozi dakika ya 82 kupitia kwa Charlie Austin na Arsenal sasa inatimiza pointi 54 baada ya kucheza mechi 28.
Chelsea inaendelea kuongoza Ligi Kuu England kwa pointi zake 63 za mechi 27, Manchester City ya pili kwa pointi zake 58 za mechi 28 na Manchester United ni ya nne kwa pointi zake 53 za mechi 28.
Kikosi cha Arsenal kilikuwa; Ospina, Bellerin, Mertesacker, Gabriel/Koscielny dk36, Gibbs, Cazorla, Coquelin, Rosicky, Ozil/Welbeck dk94, Sanchez na Giroud.
QPR; Green, Furlong, Onuoha/Hill dk45, Caulker, Yun, Phillips, Henry, Sandro/Kranjcar dk57, Hoilett, Zamora na Austin.
Olivier Giroud akiwa amemuinua mchezaji mwenzake wa Arsenal, Tomas Rosicky kushangilia baada ya kufunga bao
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2979784/QPR-1-2-Arsenal-Olivier-Giroud-Alexis-Sanchez-strike-R-s.html#ixzz3TT90mrhP


.png)
0 comments:
Post a Comment