// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DROGBA ARUDI NA MGUU MBAYA CHELSEA, ASHINDWA KUNG'ARA WAKIPIGWA 3-0 UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DROGBA ARUDI NA MGUU MBAYA CHELSEA, ASHINDWA KUNG'ARA WAKIPIGWA 3-0 UJERUMANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, August 03, 2014

    DROGBA ARUDI NA MGUU MBAYA CHELSEA, ASHINDWA KUNG'ARA WAKIPIGWA 3-0 UJERUMANI

    MKONGWE Didier Drogba ameshindwa kung'ara akiichezea Chelsea kwa mara ya kwanza tangu arejee msimu baada ya kuchapwa mabao 3-0 Werder Bremen nchini Ujerumani katika mchezo wa kujiandaa na msimu.
    Mshambuliaji huyo wa Ivory Coast, aliichezea kwa mara ya mwisho Chelsea mwaka 2012 katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, ikishinda kwa penalti dhidi ya Bayern Munich, lakini leo akirejea Ujerumani yeye na washambuliaji wengine wa The Blues- walilala kwa mabao ya Ludovic Obraniak kwa kichwa na penalti za Assani Lukimya na Felix Kroos.
    Amerudi na mguu mbaya: Didier Drogba ameichezea tena kwa mara ya kwanza The Blues leo tangu arejee na imefungwa 3-0
    Beaten: Chelsea goalkeeper Thibaut Courtois conceded two goals in Germany
    Kipa wa Chelsea, Thibaut Courtois amefungwa mabao mawili leo, wakati bao lingine alifungwa Petr Cech kipindi cha pili
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DROGBA ARUDI NA MGUU MBAYA CHELSEA, ASHINDWA KUNG'ARA WAKIPIGWA 3-0 UJERUMANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top