• HABARI MPYA

    Saturday, November 16, 2013

    NIGERIA YA KWANZA KUKATA TIKETI YA BRAZIL 2014 BAADA YA KUIFUMUA ETHIOPIA 2-0

    HIZO ZINAKUWA FAINALI ZA TANO KWAO KUFUZU

    TIMU ya taifa ya Nigeria imekuwa nchi ya kwanza ya Afrika kukata tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia mwakani baada ya ushindi wa mabao 2-0 nyumbani dhidi ya Ethiopia leo.

    Victor Moses alifunga kwa penalti dakika ya 20 na Victor Obinna akaongeza la pili dakika ya 82 kwa mpira wa adhabu, hivyo Super Eagles kufuzu kwa ushindi wa jumla wa 4-1, baada ya awali kushinda 2- mjini Addis Ababa mwezi uliopita katika mchezo wa kwanza.On the attack: Chelsea's Mikel John Obi takes the ball ahead of Ethiopia's Adane Girma (left) and Shemeles Bekele (right) during the match in Calabar
    On the attack: Chelsea's Mikel John Obi takes the ball ahead of Ethiopia's Adane Girma (left) and Shemeles Bekele (right) during the match in Calabar
    Hottest ticket in town: Supporters arrive for the second leg with a World Cup place at stake
    Hottest ticket in town: Supporters arrive for the second leg with a World Cup place at stake

    Nigeria inafuzu kwa mara ya tano kucheza Fainali za Kombe la Dunia, ambazo mwakani zitafanyika nchini Brazil, baada ya awali kucheza fainali nne zilizopita.
    Mechi nyingine nne za kufuzu kwa fainali hizo barani zitakamilika ndani ya siku nne wayi mchezo mwingine wa leo ni kati ya Senegal na Ivory Coast.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIGERIA YA KWANZA KUKATA TIKETI YA BRAZIL 2014 BAADA YA KUIFUMUA ETHIOPIA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top