![]() |
| Ismail Gambo 'Kussi' kulia akimzuia Amri Kiemba |
![]() |
| Wachezaji wa Future, Elias Maguri kulia na Haroun Chanongo kushoto wakimdhibiti kiungo wa Taifa Stars, Athumani Iddi 'Chuji' |
![]() |
| Chuji alifanikiwa kupasua katikati |
![]() |
| Haroun Chanongo akipambana na Salum Abubakar 'Sure Boy' wa Taifa Stars kulia |
![]() |
| Kussi hakumpa nafasi kabisa Ngassa leo kufurukuta |
![]() |
| John Kabanda wa Future akimdhibiti Ngassa |
![]() |
| Kabanda na Ngassa |
![]() |
| Mpira wa nanai..Hapa kuna Juma Luizio na Ramadhani Singano wa Future dhidi ya Chuji na Sure Boy wa Stars |
![]() |
| Juma Luizio amemgeuza Aggrey Morris |
![]() |
| Chanongo akimfunga tela Sure Boy |
![]() |
| Ngassa akitafuta mbinu za kumtoka Said Mourad wa Future |
![]() |
| Hussein Javu akimtoka Aggrey Morris |
![]() |
| Joseph Kimwaga akipambana na Kevin Yondan |
![]() |
| Farid Mussa kulia akimpiga chenga za mwili Kevin Yondan |
![]() |
| Kikosi cha Taifa Stars |
![]() |
| Kikosi cha Future |
![]() |
| Rais wa TFF, Jamal Malinzi kulia akizungumza na kocha Kim Poulsen |
![]() |
| Jamal Malinzi akizungumza na wachezaji wa vikosi hivyo baada ya mechi |
![]() |
| Wachezaji wakisikiliza |
![]() |
| Wachezaji wakisikiliza |
![]() |
| Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, Geoffrey Nyange 'Kaburu' kushoto na Fred Kidau wakimpongeza Ivo Mapunda |
























.png)
0 comments:
Post a Comment