Gabriel Martinelli akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika ya 13 na 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Standard Liège kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emrates. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Joe Willock dakika ya 22 na Dani Ceballos dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fernandez to miss rest of season after operation
-
Chelsea midfielder Enzo Fernandez will miss the rest of the season after
undergoing successful surgery on a groin issue.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment