• HABARI MPYA

    Friday, October 04, 2019

    MARTINELLI APIGA MBILI ARSENAL YASHINDA 4-0 EUROPA LEAGUE

    Gabriel Martinelli akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika ya 13 na 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Standard Liège kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emrates. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Joe Willock dakika ya 22 na Dani Ceballos dakika ya 57 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MARTINELLI APIGA MBILI ARSENAL YASHINDA 4-0 EUROPA LEAGUE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top