Mshambuliaji Mfaransa, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 18 na 25 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Valencia kwenye mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao la tatu la Arsenal lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 90, wakati la Valencia lilifungwa na Mouctar Diakhaby dakika ya 11 na timu hizo zitarudiana Mei 9 Uwanja wa Mestalla mjini Valencia na mshindi wa jumla atakutana na mshindi kati ya Chelsea na Eintracht Frankfurt kwenye fainali Mei 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Taylor Swift approves of the Chiefs picking Xavier Worthy
as Travis Kelce's girlfriend likes a video of Kansas City's new star being
selected
-
The pop sensation - and Travis Kelce 's girlfriend - has become an avid
Chiefs fan in recent months thanks to her high-profile relationship with
the Super ...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment