• HABARI MPYA

    Friday, June 02, 2023

    MOHAMED OUATTARA AANZA MAZOEZI MEPESI KUJIWEKA SAWA


    BEKI Muivory Coast, Mohamed Ouattara ameanza mazoezi mepesi Simba SC baada ya kuwa nje kwa muda kutokana na maumivu.
    Mohamed Ouattara amesajiliwa msimu huu Simba SC kutoka Al Hilal ya Sudan baada ya awali kuzichezea Wydad Casablanca na Nahdat Zemamra za Morocco, lakini maumivu yalimkwamisha kuonyesha uwezo wake.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MOHAMED OUATTARA AANZA MAZOEZI MEPESI KUJIWEKA SAWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top