• HABARI MPYA

    Tuesday, June 06, 2023

    MATOLA AALIKWA GHANA KWENYE MICHUANO YA VIJANA


    KOCHA Mkuu wa timu za vijana za Simba, Suleiman Matola amepata mwaliko wa kwenda Jijini Accra nchini Ghana kushuhudia mashindano ya vijana chini ya umri wa 23 yatakayofanyika nchini humo kuanzia Juni 20 hadi  24, mwaka huu.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATOLA AALIKWA GHANA KWENYE MICHUANO YA VIJANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top