MABAO ya Ben Godfrey aliyejifunga dakika ya 31 na Jorginho dakika ya 65 kwa penalti leo yameipa Chelsea ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo Jwa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford bridge Jijini London.
Kwa ushindi huo, The Blies wanafikisha pointi 50 baada ya kucheza mechi 28, ingawa wanabaki ya nne wakiizidi pointi nne Everton ambayo pia ina michezo mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment