ARSENAL YATOKA NYUMA NA KUWACHAPA SPURS 2-1 EMIRATES
TIMU ya Arsenal jana imewaadhibu wapinzani wao wa Kaskazini mwa London, Tottenham Hotspur kwa kuwachapa mabao 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Erik Lamela alianza kuifungia Spurs dakika ya 33, kabla ya Martin Odegaard kuisawazishia Arsenal dakika ya 44 na Alexandre Lacazette kufunga la ushindi dakika ya 64 kwa penaltiPICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment