MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski jana amefunga mabao matatu Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – bao lingine la Bavarian likifungwa na Leon Goretzka, wakati ya Dortmund yalifungwa na kinda nyota wa miaka 20, Mnorway Erling Haaland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie football in mourning as Rale Rasic dies after coaching Socceroos to their first World Cup
-
Rale Rasic, the man who famously coached the Socceroos to their first World
Cup in 1974, has died. He was inducted into the Sport Australia Hall of
Fame in...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment