MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski jana amefunga mabao matatu Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – bao lingine la Bavarian likifungwa na Leon Goretzka, wakati ya Dortmund yalifungwa na kinda nyota wa miaka 20, Mnorway Erling Haaland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Parramatta are last on the NRL ladder - here's why one of their all-time
greats wants the team to make a shock move that would OUTRAGE their fans
-
Parramatta Eels great Nathan Hindmarsh has called for the club to release
one of their star players following a poor start to the 2025 season, which
has se...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment