MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski jana amefunga mabao matatu Bayern Munich ikiibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Borussia Dortmund katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena Jijini Munich – bao lingine la Bavarian likifungwa na Leon Goretzka, wakati ya Dortmund yalifungwa na kinda nyota wa miaka 20, Mnorway Erling Haaland PICHA ZAIDI GONGA HAPA
At UN ocean Confab, Buhari commits to reduce marine plastic pollution
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Muhammadu Buhari has pledged
Nigeria’s commitment to an international legally binding instrument to
reduce t...
Dakika 14 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni