// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
LIVERPOOL YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 BRAMALL LANE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINELIVERPOOL YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 BRAMALL LANE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
LIVERPOOL YAICHAPA SHEFFIELD UNITED 2-0 BRAMALL LANE
MABINGWA watetezi, Liverpool wamezinduka na kupata ushindi wa 2-0 dhidi ya Sheffield United katika Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Bramall Lane, mabao ya Curtis Jones dakika ya 48 na Kean Bryan aliyejifunga dakika ya 65. Kwa ushindi huo, Liverpool inapanda nafasi ya sita ikifikisha pointi 43, sasa inazidiwa pointi moja na Chelsea baada ya wote kucheza mechi 26PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment