// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
BENZEMA APIGA ZOTE MBILI REAL MADRID YASHINDA 2-1 LA LIGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEBENZEMA APIGA ZOTE MBILI REAL MADRID YASHINDA 2-1 LA LIGA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
BENZEMA APIGA ZOTE MBILI REAL MADRID YASHINDA 2-1 LA LIGA
TIMU ya Real Madrid jana iliibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Elche katika mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Karim Benzema yote dakika ya 73 na 90 na ushei, wakati la Elche lilifungwa na Dani Calvo dakika ya 61 na kwa ushindi huo timu ya kocha Zinadine Zidane inafikisha pointi 57 baada ya kucheza mechi 27 na kurejea nafasi ya pili, ikiizidi pointi moja Barcelona ambayo imecheza mechi 26PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Reps in heated argument over Rivers crisis
-
From Ndubuisi Orji, Abuja Two members of the House of Representatives,
Marie Ebikake and Blessing Amadi, were engaged in a heated argument over
the dec...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment