• HABARI MPYA

    Wednesday, March 31, 2021

    TANZANIA YAJIWEKA PAZURI KUFUZU AFCON YA SOKA LA UFKWENI BAADA YA KUIPIGA BURUNDI 8-3


    TANZANIA jana imeichapa Burundi 8-3 katika mcheza wa kwanza kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa soka la Ufukweni (AFCON - Beach Soccer) mwakani, 2022 uliofanyika Ufukwe wa Coco, Dar es Salaa. Baaaa ya mchezo huo wa jana, timu hizo zitarudiana Aprili 3 na mshindi wa jumla atasonga mbele.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TANZANIA YAJIWEKA PAZURI KUFUZU AFCON YA SOKA LA UFKWENI BAADA YA KUIPIGA BURUNDI 8-3 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top