• HABARI MPYA

    Sunday, March 14, 2021

    GWAMBINA FC YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA POLISI TANZANIA MISUNGWI, LEO NI PRISONS NA JKT SUMBAWANGA

    BAADA ya Gwambina FC kulazimishwa suluhu na Polisi Tanzania Misungwi mkoani Mwanza jana – Ligi Kuu ya Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi moja zaidi, Tanzania Prisons wakiwakaribisha JKT Tanzania kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Nelson Mandela, SUmbawanga mkoani Rukwa.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GWAMBINA FC YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA POLISI TANZANIA MISUNGWI, LEO NI PRISONS NA JKT SUMBAWANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top