BAADA ya Gwambina FC kulazimishwa suluhu na Polisi Tanzania Misungwi mkoani Mwanza jana – Ligi Kuu ya Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi moja zaidi, Tanzania Prisons wakiwakaribisha JKT Tanzania kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Nelson Mandela, SUmbawanga mkoani Rukwa.
Sunday, March 14, 2021
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


.png)
0 comments:
Post a Comment