BAADA ya Gwambina FC kulazimishwa suluhu na Polisi Tanzania Misungwi mkoani Mwanza jana – Ligi Kuu ya Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo kwa mechi moja zaidi, Tanzania Prisons wakiwakaribisha JKT Tanzania kuanzia Saa 10:00 jioni Uwanja wa Nelson Mandela, SUmbawanga mkoani Rukwa.
Watch: Lille midfielder Ethan Mbappe shown red card for ugly elbow
-
Ethan Mbappé was shown a red card in Lille's Champions League match against
Real Betis on Tuesday.
1 day ago


.png)
0 comments:
Post a Comment