Bruno Fernandes akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 29 na 50 kufuatia Mason Greenwood kufunga la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Manchester United ifikishe pointi 52 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea nafasi ya tano ikiizidi wastani wa mabao tu Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle plot summer move for Tottenham star as Eddie Howe looks to
reunite with £65m man should North London club suffer relegation to the
Championship
-
SIMON JONES: Much will depend on Tottenham's Premier League status, but the
player is well known to Eddie Howe.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment