Bruno Fernandes akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 29 na 50 kufuatia Mason Greenwood kufunga la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Manchester United ifikishe pointi 52 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea nafasi ya tano ikiizidi wastani wa mabao tu Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: CJN sets to resign
-
There are reports that that the Chief Justice of Nigeria Tanko Mohammed
may have resigned. Reports monitored on Arise TV said the CJN may have
resigned ...
Dakika 22 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni