Bruno Fernandes akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 29 na 50 kufuatia Mason Greenwood kufunga la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Manchester United ifikishe pointi 52 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea nafasi ya tano ikiizidi wastani wa mabao tu Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NASA unveils Artemis III astronauts to test technology for a future moon
landing
-
NASA on Tuesday revealed the crew for its Artemis III mission, the next
step in the space agency's plan to eventually land astronauts on the moon.
The anno...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment