Bruno Fernandes akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester United dakika za 29 na 50 kufuatia Mason Greenwood kufunga la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Manchester United ifikishe pointi 52 baada ya kucheza mechi 32 na kurejea nafasi ya tano ikiizidi wastani wa mabao tu Wolverhampton Wanderers PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou praises 'brave' Richarlison for opening up on his mental
health struggles - and believes the Tottenham forward's emotional interview
can be a 'conduit for others to reach out for help'
-
The Brazilian, who joined Spurs from Everton in 2022 for £60million,
revealed in a tearful interview earlier this week that he had suffered from
depression...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment