Gabriel Jesus (katikati) na Roberto Firmino (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto, Belo Horizonte, Minas Gerais. Jesus alifunga dakika ya 19 na Firmino dakika ya 71 na kila mmoja alimpasia mwenzake kufunga na sasa Brazil itakutana na mshindi kati ya Chile na Peru zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment