Gabriel Jesus (katikati) na Roberto Firmino (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto, Belo Horizonte, Minas Gerais. Jesus alifunga dakika ya 19 na Firmino dakika ya 71 na kila mmoja alimpasia mwenzake kufunga na sasa Brazil itakutana na mshindi kati ya Chile na Peru zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham stars are treated to ANOTHER trip to Las Vegas after their
'monster' all-expenses holiday last year as Ryan Reynolds and Rob
McElhenney's side celebrate pulling off back-to-back promotions
-
The Welsh outfit sealed a return to League One for the first time in 19
years after finishing second in the fourth tier of English football,
earning 88 poi...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment