Gabriel Jesus (katikati) na Roberto Firmino (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto, Belo Horizonte, Minas Gerais. Jesus alifunga dakika ya 19 na Firmino dakika ya 71 na kila mmoja alimpasia mwenzake kufunga na sasa Brazil itakutana na mshindi kati ya Chile na Peru zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Baldoni’s Wayfarer Must Pay $170K in Damages After Failed New York
Times Defamation Suit
-
Justin Baldoni's Wayfarer Studios has been ordered to pay The New York
Times $171,000 following its failed defamation suit.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment