Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na Marcelo wakiinua Kombe la Bernabeu baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Karim Benzema dakika ya pili, Gareth Bale dakika ya 45 na ushei na Borja Mayoral dakika ya 90 na ushei, wakati la Milan limefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Canadian culture, French are fundamental rights — not trade irritants,
Carney says
-
OTTAWA — The French language and Quebec and Canadian culture might be trade
irritants for the Americans but in Canada they are fundamental rights,
Prime Mi...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment