Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos na Marcelo wakiinua Kombe la Bernabeu baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na Karim Benzema dakika ya pili, Gareth Bale dakika ya 45 na ushei na Borja Mayoral dakika ya 90 na ushei, wakati la Milan limefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest vs Man City - Premier League: Live score, team news and
updates as Pep Guardiola's side need a win to close the gap to league
leaders Arsenal
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Nottingham Forest host Manchester City at the City Ground in Sunday
evening's ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment