Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wenzake, Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita (kulia) baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 19 na Daniel Sturridge dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stocks may start to discount the possibility that the war won’t be short,
Yardeni
-
Investing.com -- Stocks declined as oil prices returned to around $100 a
barrel, with Yardeni Research warning in a note on Friday that markets may
be star...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment