Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wenzake, Roberto Firmino (kushoto) na Naby Keita (kulia) baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 45 na ushei na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 19 na Daniel Sturridge dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Devin Booker 'wants to be in New York', claims Stephen A. Smith, after Suns
were swept in the NBA playoffs... hinting at potential move to the Knicks
or Nets
-
Devin Booker wants to play in New York, Stephen A. Smith has said, with the
Suns' future in flux after their early playoff exit.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment