• HABARI MPYA

    Saturday, February 03, 2018

    STERLING AKOSA BAO LA WAZI, MAN CITY YATOA TURF MOOR

    Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akikosa bao la wazi kipindi cha pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Man City ilitangulia kwa bao la Danilo dakika ya 22 kabla ya Johann Berg Gudmundsson kuisawazishia Burnley dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: STERLING AKOSA BAO LA WAZI, MAN CITY YATOA TURF MOOR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top