Mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling akikosa bao la wazi kipindi cha pili katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Man City ilitangulia kwa bao la Danilo dakika ya 22 kabla ya Johann Berg Gudmundsson kuisawazishia Burnley dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL world reacts to Bears picking Keyshaun Elliott in 2026 NFL Draft
-
The Chicago Bears selected linebacker Keyshaun Elliott in the 2026 NFL
Draft. Here's how fans are reacting.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment