Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akimlamba chenga mchezaji wa Ruvu Shooting anayejaribu kumzuia Mrundi huyo kwa mikono asiuwahi mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0
Mfungaji wa mabao mawili ya Simba jana, John Bocco akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Rajab Zahir
Mshambuliaji wa Simba SC, Mganda Emmanuel Okwi akivuta mguu kupiga mpira dhidi ya beki wa Ruvu Shooting, Damas Makwaya
Kipa wa Ruvu Shooting, Abdallah Rashid akitokea kuokoa dhidi ya Nahodha wa Simba, John Bocco aliyemzidi beki Rajab Zahir aliyeanguka chini
Beki Mghana wa Simba, Asante Kwasi akimiliki mpira mbele ya Issa Kanduru wa Ruvu Shooting
Beki wa Simba, Yussuf Mlipili (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya mshambuliaji wa Ruvu, Fully Maganga
Mshambuliaji wa Ruvu Shooting, Abdulrahman Mussa akimiliki mpira mbele ya beki wa Simba, Erasto Nyoni
Beki wa Simba, Shomary Kapombe akitoa pasi katikati ya wachezaji wa Ruvu
Kikosi cha Ruvu Shooting kwenye mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC kwenye mchezo wa jana
Arsenal do NOT look like champions in waiting: Why Declan Rice is a concern
for Mikel Arteta and the biggest issue the Gunners boss must solve if they
are to beat Man City to the title, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE: The good news for Mikel Arteta is that there are only four
league games to play, not 14. It is a small enough number to negotiate
through grit,...
3 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment