Kipa wa Levante, Oier akiokoa mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Nahodha Sergio Ramos dakika ya 11 na Isco dakika ya 81 wakati ya Levante yalifungwa na Emmanuel Boateng dakika ya 42 na Giampaolo Pazzini dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce reveals the best gift he ever bought Taylor Swift as Chiefs
star prepares for Christmas Day game
-
Kansas City Chiefs star Travis Kelce proved himself to be one serious gift
giver and revealed the best thing he's given to his now-fiancée, Taylor
Swift.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment