Kipa wa Levante, Oier akiokoa mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Nahodha Sergio Ramos dakika ya 11 na Isco dakika ya 81 wakati ya Levante yalifungwa na Emmanuel Boateng dakika ya 42 na Giampaolo Pazzini dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu's opponent, Vergil Ortiz, sends brutal message to Aussie with
savage knockout win: 'Let's get ready for World War 3'
-
Vergil Ortiz has sent a blunt message to Tim Tszyu ahead of their August
super fight showdown by finishing his opponent with a savage body shot in
Los Ange...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment