Olivier Giroud akimkimbilia mchezaji mwenzake, Eden Hazard kumpongeza baada ya kufunga mabao mawili dakika za 25 na 71 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya West Bromwich Albion usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao la pili la The Blues lilifungwa na Victor Moses dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham's medical staff branded as 'utterly clueless' by some fans over
their handling of Xavi Simons' torn ACL - with 'insane decision' to let
star try to play on despite his injury questioned
-
The fallout of Xavi Simons' season-ending knee injury has left many
Tottenham fans furious with the club's medical staff.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment