Mshambuliaji Mbelgiji, Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo kutoka Chelsea akibinuka sarakasi baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-0 wa Borusia Dortmund dhidi ya Hamburg kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park. Bao la pili la Borusia Dortmund lilifungwa na Mario Gotze dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment