Mshambuliaji Mbelgiji, Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo kutoka Chelsea akibinuka sarakasi baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-0 wa Borusia Dortmund dhidi ya Hamburg kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park. Bao la pili la Borusia Dortmund lilifungwa na Mario Gotze dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana’s Black Stars begin camping in Accra today March 17 ahead of Chad,
Madagascar games
-
The Black Stars will open camp in Accra on Monday, March 17, 2025, ahead of
the 2026 World Cup qualifying games against Chad and Madagascar.The team
will h...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment