Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia timu yake mpya, Borussia Dortmund mabao mawili na kuseti moja ikishinda ugenini 3-2 dhidi ya wenyeji, FC Cologne Uwanja wa RheinEnergie. Batshuayi, mshambuliaji wa KIbelgiji aliyesajiliwa wiki hii kwa mkopo kutoka Chelsea, alifunga dakika ya 35 na 62, wakati bao lingine la Dortmund limefungwa na André Schürrle dakika ya 84 na mabao ya wenyeji, FC Cologne yalifungwa na Simon Zoller dakika ya 60 na Jorge Meré dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal vs Newcastle - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Gunners can regain control of title race with win over Magpies
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Arsenal host Newcastle in the Premier League.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment