Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia timu yake mpya, Borussia Dortmund mabao mawili na kuseti moja ikishinda ugenini 3-2 dhidi ya wenyeji, FC Cologne Uwanja wa RheinEnergie. Batshuayi, mshambuliaji wa KIbelgiji aliyesajiliwa wiki hii kwa mkopo kutoka Chelsea, alifunga dakika ya 35 na 62, wakati bao lingine la Dortmund limefungwa na André Schürrle dakika ya 84 na mabao ya wenyeji, FC Cologne yalifungwa na Simon Zoller dakika ya 60 na Jorge Meré dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen claims pole position for the Miami Grand Prix sprint race as
Ferrari's Charles Leclerc joins him on the front row despite spinning out
in morning practice
-
Triple world champion Verstappen, who came from fourth on the grid to win
the first sprint race of year at the Chinese Grand Prix, will start from
the fron...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment