Mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilundea akipiga mpira dhidi ya kipa wa Ndanda FC, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-1
Mshambuliaji chipukizi wa Azam FC, Paul Peter (kulia) akimtoka beki wa Ndanda FC
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Iddi kipagwile akipita katikati ya wachezaji wa Ndanda FC
Winga Mghana wa Azam FC, Enock Atta-Agyei akimtoka beki wa Ndanda, Job Ibrahim
Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Zayed akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Ndanda
Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa akimpita mchezaji wa Ndanda jana
How to make the perfect custard creams – recipe
-
They may be pennies a packet, but the ubiquitous custard cream can be a
revelation if you make them at home. But who has come up with the ideal
bake?
0 comments:
Post a Comment