Emre Can akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Watford usiku huu Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairudisha Liverpool nafasi ya tatu ikifikisha pointi 69 na kuishushia nafasi ya nne, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bitcoin jumps to $78,000 as Trump extends Iran ceasefire
-
Bitcoin jumped to its highest level since early February as Trump extended
a ceasefire with Iran.
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment