Emre Can akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Watford usiku huu Uwanja wa Vicarage Road kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairudisha Liverpool nafasi ya tatu ikifikisha pointi 69 na kuishushia nafasi ya nne, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marty Sheargold's replacement is revealed after radio star was dumped over
his sexist outburst about the Matildas
-
Sheargold was let go by Triple M just days after he made the disgraceful
comments about the national team - with a very well-known footy great to
step in b...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment