Mshambuliaji Raheem Sterling (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Kevin De Bruyne baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 29 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Bao la pili lilifungwa na Tyrone Mings aliyejifunga baada ya kazi nzuri ya Sergio Aguero dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jonathan warns: Govs’ show of force threatens democracy
-
Former President Goodluck Jonathan has warned that the growing practice of
serving governors, senior political office holders and party leaders
descendin...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment