Mshambuliaji Raheem Sterling (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Kevin De Bruyne baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 29 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Bao la pili lilifungwa na Tyrone Mings aliyejifunga baada ya kazi nzuri ya Sergio Aguero dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Enhanced Games athletes humbled as steroid-pumping stars only manage to
break ONE world record at inaugural 'Doping Olympics'
-
Organizers dangled a life-changing $1million prize for any competitor who
managed to eclipse an official world record at Resorts World Las Vegas on
Sunday....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment