Cristiano Ronaldo akipiga shuti na kukosa bao la wazi katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu, Real Madrid ikiichapa 3-2 Napoli ya Italia. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 18, Toni Kroos dakika ya 49 na Casemiro dakika ya 54, wakati la Napoli lilifungwa na Lorenzo Insigne dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fear & Gibson in contention for GB's first European gold since Torvill &
Dean
-
Lilah Fear and Lewis Gibson are in contention for Great Britain's first
gold medal at the European Figure Skating Championships in 32 years.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment