Cristiano Ronaldo akipiga shuti na kukosa bao la wazi katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu, Real Madrid ikiichapa 3-2 Napoli ya Italia. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 18, Toni Kroos dakika ya 49 na Casemiro dakika ya 54, wakati la Napoli lilifungwa na Lorenzo Insigne dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police neutralize 3 suspected kidnappers, rescue abducted victim in Oyo
-
From Taiwo Oluwadare, Ibadan The Oyo State Police Command has announced the
neutralization of three suspected kidnappers and the rescue of an abducted
vi...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment