Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa (kushoto) akimtoka kwa mbinde kiungo wa Burnley, Joey Barton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor mjini Burnley. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, Chelsea wakitangulia kwa bao la Pedro Eliezer Rodriguez Ledesma dakika ya saba, kabla ya Robbie Brady kuisawazishia Burnley dakika ya 24. Pamoja na sare hiyo, The Blues inaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi zake 60, ikifuatiwa na Tottenham na Arsenal zenye pointi 50 kila moja PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Preston 0-3 Leicester City: Jamie Vardy scores twice as Foxes clinch
Championship title in style
-
Jamie Vardy bagged a brace as Leicester sealed the Championship title with
a 3-0 victory over Preston North End at Deepdale on Monday evening.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment