Kiungo wa Bayern Munich, Thiago akiwaongoza wenzake kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 56 na 63 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Arjen Robben dakika ya 11, Robert Lewandowski dakika ya 53 na Thomas Muller dakika ya 88, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 30, ambaye pia alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea vs Everton - Premier League: Live score, team news and updates as
Blues look to boost chances of Champions League qualification with a win
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Chelsea host Everton at Stamford Bridge in the Premier League.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment