Kiungo wa Bayern Munich, Thiago akiwaongoza wenzake kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za 56 na 63 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Arsenal usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Arjen Robben dakika ya 11, Robert Lewandowski dakika ya 53 na Thomas Muller dakika ya 88, wakati la Arsenal lilifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 30, ambaye pia alikosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp admits next season would have been 'tricky' if he had stayed
at Liverpool - but insists he WILL be back to watch games at Anfield...
'even if the next manager doesn't like it!'
-
Jurgen Klopp believes that if he had not made the shock decision to leave
Liverpool at the end of the season, the club would have struggled next year.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment