Mshambuliaji wa Arsenal, Danny Welbeck aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya mwisho katika ikishinda 2-1 dhidi yawapinzani wao katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya England, Leicester City mchana wa leo Uwanja wa Emirates. Leicester ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Jamie Vardy kwa penalti dakika ya 45, kabla ya Theo Walcott kuisawazishia Arsenal dakika ya 70. Leicester ilimpoteza beki wake Danny Simpson aliyetolewa kwa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Twins' Rocco Baldelli Explains Team's 'Home Run Sausage' Superstition
-
Using props to celebrate home runs is somewhat common in the majors, but
the Minnesota Twins might have one of the strangest home run celebration
props of ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment