MSN wa hatari; Luis Suarez akishangilia na Neymar na Lionel Messi baada ya kupiga hat-trick katika ushindi wa Barcelona wa 6-1 dhidi ya Celta Vigo usiku huu Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Messi, Neymar na Ivan Rakitic, wakati la Celta Vigo lilifungwa na John Guidetti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The top six stars in the FWA Footballer of the Year voting as
Phil Foden is crowned the winner - with just TWO foreign players included
-
Foden, 23, has enjoyed his best season to date amid City's push for an
astonishing fourth successive Premier League title, emerging Pep
Guardiola's most im...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment