Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema, James Rodriguez na Oscar Duarte aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Padres' Updated Lineup, Payroll After Reported Luis Arráez Trade with
Marlins
-
Luis Arráez is reportedly heading to the San Diego Padres after the Miami
Marlins traded him for reliever Woo-Suk Go and prospects Dillon Head, Jakob
Marsee,…
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment