Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumapili Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema, James Rodriguez na Oscar Duarte aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Can Scotland's risk takers prevent Grand Slam procession for France?
-
"It's a Grand Slam or disappointment" for France, writes Tom English as
fellow risk takers Scotland bid to keep their own title hopes alive at
Murrayfield.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment