Bondia Manny Pacquiao (kulia) akiwa na Jack Russell Terrier aitwaye Pacman wakati wa mazoezi ya asubuhi leo, kujiandaa na pambano dhidi ya Floyd Mayweather Mei 2, mwaka huu mjini Las Vegas, Marekani.
Pacquiao alianzia kambi yake mazoezi nchini Ufilipino kabla ya kuhamia Los Angeles, Marekani mwishoni mwa wiki iliyopita kwa ajili ya kujifua zaidi
PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2979841/Manny-Pacquiao-joined-Jack-Russell-early-morning-run.html#ixzz3TUuAzA4P


.png)
0 comments:
Post a Comment