• HABARI MPYA

    Sunday, November 09, 2014

    SUNDERLAND YATOKA SARE 1-1 NA EVERTON

    Beki wa Everton, Phil Jagielka akibinuka tike tai mbele ya mchezaji wa Sunderland, Steven Fletcher katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Light. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la Sunderland likifungwa na Sebastian Larsson na la Everton likifungwa na Leighton Baines kwa penalti.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2827358/Sunderland-1-1-Everton-Sebastian-Larsson-s-superb-free-kick-cancelled-Leighton-Baines-spot.html#ixzz3IamBkSrt 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SUNDERLAND YATOKA SARE 1-1 NA EVERTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top