HAWA SI MAKOCHA, NI MASHABIKI TU, LAKINI SHUGHULI YAO WENYE MAJUKUMU YAO WANASUBIRI!
Shabiki wa Majimaji ya Songea akiwahamasisha wachezaji wa timu yake katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Majimaji ilifungwa 2-1 na Friends Rangers ya Manzese, Dar es Salaam.
Shabiki wa Friends Ranges akiwapa mbinu wachezaji wa timu yake, katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Tanzania bara dhidi ya Majimaji ya Songea leo Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Rangers ilishinda 2-1.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment