• HABARI MPYA

    Sunday, November 09, 2014

    BALE, RONALDO, BENZEMA NA TONI KROOS WOTE WAFUNGA REAL IKIUA 5-1 LA LIGA


    Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Toni Kroos bao lake alilofunga dakika ya tisa jana katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 40, Kroos dakika ya 56, Karim Benzema dakika ya 59 na Cristiano Ronaldo dakika ya 83, wakati na Rayo lilifungwa na Bueno dakika ya 44. 

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2826847/Real-Madrid-5-1-Rayo-Vallecano-Gareth-Bale-sparks-goal-rush-Cristiano-Ronaldo-claims-24th-season.html#ixzz3IXYVR168 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALE, RONALDO, BENZEMA NA TONI KROOS WOTE WAFUNGA REAL IKIUA 5-1 LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top