Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale (kulia) akishangilia na mchezaji mwenzake, Toni Kroos bao lake alilofunga dakika ya tisa jana katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Rayo Vallecano kwenye La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 40, Kroos dakika ya 56, Karim Benzema dakika ya 59 na Cristiano Ronaldo dakika ya 83, wakati na Rayo lilifungwa na Bueno dakika ya 44.
Mohamed Salah stars as Egypt beat lowest-ranked New Zealand for first EVER
World Cup win
-
The lowest-ranked team in the tournament threatened a huge shock in the
first half when Finn Surman - who plays his club football for Portland
Timbers in M...
19 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment